Hope Media
  • HOME
  • Hope TV
    • Hope TV
    • Hope TV Live
    • Hope TV Youtube
  • News
  • Hope FM
  • Hope Creative
  • Hope Recording Studio
  • Friends of Hope
  • Contact Us
Select Page
Usiku wa vurughu St. George’s Girls Nairobi ikifungwa

Usiku wa vurughu St. George’s Girls Nairobi ikifungwa

by Dickens Luvanda | Sep 8, 2025 | KISWAHILI NEWS

Shule ya Upili ya Wasichana ya St. George’s, iliyoko Kilimani, jijini Nairobi, imefungwa kwa muda usiojulikana baada ya usiku wa vurughu na mvutano mkali kati ya wanafunzi na walimu. Ghasia zilizowahusisha wanafunzi zaidi ya 1,800 zilianza jana Jumapili Septemba 7,...
CHAN2024: Harambee Stars roho juu CAF ikiizaba Kenya faini ya mamilioni ya pesa

CHAN2024: Harambee Stars roho juu CAF ikiizaba Kenya faini ya mamilioni ya pesa

by Dickens Luvanda | Aug 13, 2025 | KISWAHILI NEWS

Shirikisho la Soka Barani Afrika (“CAF”) kupitia Kamati yake ya Nidhamu limekutana kujadili masuala mbalimbali yanayohusiana na Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (“CHAN”) PAMOJA 2024 yanayoendelea Kenya, Uganda na Tanzania, chini ya udhamini wa...
Mbweha wa Algeria wageuza Korongo wa Uganda kitoweo

Mbweha wa Algeria wageuza Korongo wa Uganda kitoweo

by Dickens Luvanda | Aug 5, 2025 | KISWAHILI NEWS

Timu ya taifa ya Algeria, maarufu kama ‘The Dessert Foxes’, waliwatoa kijasho wenzao wa Uganda, maarufu kama ‘Uganda Cranes’ na kuwapa kichapo cha mbwa katika mechi ya kundi C. Mbweha hao waliwachachafya Korongo mabao 3-0, kuwania kombe la...
CHAN2024: Chui wa DRC awasili kumkaba Stars wa Kenya Jumapili

CHAN2024: Chui wa DRC awasili kumkaba Stars wa Kenya Jumapili

by Dickens Luvanda | Jul 31, 2025 | KISWAHILI NEWS

Mabingwa mara mbili wa kombe la Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN), DR Congo, maarufu kama the Leopards (Chui), waliwasili nchini mapema Alhamisi kupitia uwanja wa JKIA tayari kushiriki kipute cha mwaka huu ambacho kitaendelea nchini Kenya, Uganda na Tanzania. Chui...
Mikindani Mombasa: Ajali yaua mwalimu, wanafunzi wajeruhiwa

Mikindani Mombasa: Ajali yaua mwalimu, wanafunzi wajeruhiwa

by Dickens Luvanda | Jul 4, 2025 | KISWAHILI NEWS

Mwalimu mmoja kutoka Shule ya Msingi Mikindani, eneo bunge la Jomvu, Kaunti ya Mombasa, amefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyotokea jioni ya Alhamisi, eneo la Maasai, Taita Taveta, kwenye barabara kuu ya Mombasa – Nairobi. Mwalimu huyo alikuwa...
« Older Entries
  • Facebook
  • X
  • Instagram
  • RSS
A Ministry of Christ is the Answer Ministries (CITAM)