by Dickens Luvanda | Jul 3, 2025 | KISWAHILI NEWS
Mwanablogu aliyekuwa ametoweka Ndiangui Kinyagia amejitokeza katika mahakama kuu Jijini Nairobi Alhamisi Julai 3, 2025, baada ya mahakama hiyo kuagiza mkuu wa idara ya upelelezi wa jinai Mohamed Amin, kumwasilisha. Kinyagia alitoweka akiwa katiak nyumba yake ya...
by Dickens Luvanda | Jul 3, 2025 | KISWAHILI NEWS
Hatimaye Bunge la Kitaifa limepitisha kwa kauli moja, Mswada wa Marekebisho ya Katiba wa Mwaka 2025, unaonuia kujumuisha kwenye katiba hazina ya serikali ya kitaifa ya ustawi wa maeneo bunge NG-CDF, hazina ya serikali ya kitaifa inayotengewa makundi maalum, NGAAF na...