by Dickens Luvanda | Dec 19, 2025 | KISWAHILI NEWS
Serikali ya Afrika Kusini imewakamata raia saba wa Kenya wanaotuhumiwa kufanya kazi nchini humo kinyume cha sheria na bila kuwa na nyaraka na vibali hitajika na wanatarajiwa kurejeshwa nchini. Wakenya hao ambao waliingia nchini humo kwa viza ya utalii, walikutwa...
by Dickens Luvanda | Sep 8, 2025 | KISWAHILI NEWS
Shule ya Upili ya Wasichana ya St. George’s, iliyoko Kilimani, jijini Nairobi, imefungwa kwa muda usiojulikana baada ya usiku wa vurughu na mvutano mkali kati ya wanafunzi na walimu. Ghasia zilizowahusisha wanafunzi zaidi ya 1,800 zilianza jana Jumapili Septemba 7,...
by Kennedy Kimani | Aug 14, 2025 | sports
FC Barcelona have temporarily stripped goalkeeper Marc-André ter Stegen of the club captaincy amid an escalating internal dispute over the disclosure of medical records. The German international, currently sidelined with a back injury, is at the center of a...
by Kennedy Kimani | Aug 14, 2025 | sports
Harambee Stars showcased grit and resilience on Thursday evening as they held Angola to a dramatic 1-1 draw in their second CHAN 2024 Group A clash, despite playing with 10 men for more than 70 minutes. An early setback saw Kenya reduced to 10 men in the 21st minute,...
by Dickens Luvanda | Aug 13, 2025 | KISWAHILI NEWS
Shirikisho la Soka Barani Afrika (“CAF”) kupitia Kamati yake ya Nidhamu limekutana kujadili masuala mbalimbali yanayohusiana na Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (“CHAN”) PAMOJA 2024 yanayoendelea Kenya, Uganda na Tanzania, chini ya udhamini wa...
by Alice Diana | Aug 5, 2025 | National news
Two Burundian nationals have been charged in a Mombasa court with illegal possession and trade in wildlife trophies, contrary to Kenya’s wildlife conservation laws. Gakiza Sulemani and Nkunubumwe Celecius were arraigned before Senior Resident Magistrate Hon. David...
by Dickens Luvanda | Aug 5, 2025 | KISWAHILI NEWS
Timu ya taifa ya Algeria, maarufu kama ‘The Dessert Foxes’, waliwatoa kijasho wenzao wa Uganda, maarufu kama ‘Uganda Cranes’ na kuwapa kichapo cha mbwa katika mechi ya kundi C. Mbweha hao waliwachachafya Korongo mabao 3-0, kuwania kombe la...
by Dickens Luvanda | Jul 31, 2025 | KISWAHILI NEWS
Mabingwa mara mbili wa kombe la Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN), DR Congo, maarufu kama the Leopards (Chui), waliwasili nchini mapema Alhamisi kupitia uwanja wa JKIA tayari kushiriki kipute cha mwaka huu ambacho kitaendelea nchini Kenya, Uganda na Tanzania. Chui...
by Dickens Luvanda | Jul 4, 2025 | KISWAHILI NEWS
Mwalimu mmoja kutoka Shule ya Msingi Mikindani, eneo bunge la Jomvu, Kaunti ya Mombasa, amefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyotokea jioni ya Alhamisi, eneo la Maasai, Taita Taveta, kwenye barabara kuu ya Mombasa – Nairobi. Mwalimu huyo alikuwa...
by Dickens Luvanda | Jul 4, 2025 | KISWAHILI NEWS
Huku zikiwa zimesalia siku za kuhesabu kabla Jumatatu ya Sabasaba (Julai 7, 2025) siku ambayo vijana wa Gen Z wametangaza maandamano ya kitaifa dhidi ya serikali ya Rais William Ruto, wasiwasi unaendelea kuwakumba wafanyibiashara sehemu mbalimbali, kwa hofu ya...