ILANI YA AJALI KRISIMASI

ILANI YA AJALI KRISIMASI

Msimu huu wa Sikukuu ya Krsimasi, Gavana wa Kaunti ya Machakos, Wavinya Ndeti, amewataka madereva kuwa waangalifu zaidi barabarani. Akizungumza baada ya kuhudhuria hafla ya ubatizo wa watoto katika Kanisa la Our Lady of Lourdes mjini Machakos, Gavana Wavinya alionya...
JUHUDI ZA KUDHIBITI UKAME

JUHUDI ZA KUDHIBITI UKAME

Serikali ya kitaifa na magavana wa kaunti wamekubaliana kuharakisha kupanga upya miradi ya kilimo inayofadhiliwa na Benki ya Dunia ili kukabiliana na ukame unaoikumba Kenya huku wakijenga uthabiti wa muda mrefu. Akizungumza baada ya mkutano wa ngazi ya juu uliofanyika...
WAKENYA WAKAMATWA AFRIKA KUSINI

WAKENYA WAKAMATWA AFRIKA KUSINI

Serikali ya Afrika Kusini imewakamata raia saba wa Kenya wanaotuhumiwa kufanya kazi nchini humo kinyume cha sheria na bila kuwa na nyaraka na vibali hitajika na wanatarajiwa kurejeshwa nchini. Wakenya hao ambao waliingia nchini humo kwa viza ya utalii, walikutwa...