by Dickens Luvanda | Aug 13, 2025 | KISWAHILI NEWS
Shirikisho la Soka Barani Afrika (“CAF”) kupitia Kamati yake ya Nidhamu limekutana kujadili masuala mbalimbali yanayohusiana na Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (“CHAN”) PAMOJA 2024 yanayoendelea Kenya, Uganda na Tanzania, chini ya udhamini wa...
by Dickens Luvanda | Aug 5, 2025 | KISWAHILI NEWS
Timu ya taifa ya Algeria, maarufu kama ‘The Dessert Foxes’, waliwatoa kijasho wenzao wa Uganda, maarufu kama ‘Uganda Cranes’ na kuwapa kichapo cha mbwa katika mechi ya kundi C. Mbweha hao waliwachachafya Korongo mabao 3-0, kuwania kombe la...
by Dickens Luvanda | Jul 31, 2025 | KISWAHILI NEWS
Mabingwa mara mbili wa kombe la Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN), DR Congo, maarufu kama the Leopards (Chui), waliwasili nchini mapema Alhamisi kupitia uwanja wa JKIA tayari kushiriki kipute cha mwaka huu ambacho kitaendelea nchini Kenya, Uganda na Tanzania. Chui...
by Dickens Luvanda | Jul 4, 2025 | KISWAHILI NEWS
Mwalimu mmoja kutoka Shule ya Msingi Mikindani, eneo bunge la Jomvu, Kaunti ya Mombasa, amefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyotokea jioni ya Alhamisi, eneo la Maasai, Taita Taveta, kwenye barabara kuu ya Mombasa – Nairobi. Mwalimu huyo alikuwa...
by Dickens Luvanda | Jul 4, 2025 | KISWAHILI NEWS
Huku zikiwa zimesalia siku za kuhesabu kabla Jumatatu ya Sabasaba (Julai 7, 2025) siku ambayo vijana wa Gen Z wametangaza maandamano ya kitaifa dhidi ya serikali ya Rais William Ruto, wasiwasi unaendelea kuwakumba wafanyibiashara sehemu mbalimbali, kwa hofu ya...
by Dickens Luvanda | Jul 3, 2025 | KISWAHILI NEWS
Mwanablogu aliyekuwa ametoweka Ndiangui Kinyagia amejitokeza katika mahakama kuu Jijini Nairobi Alhamisi Julai 3, 2025, baada ya mahakama hiyo kuagiza mkuu wa idara ya upelelezi wa jinai Mohamed Amin, kumwasilisha. Kinyagia alitoweka akiwa katiak nyumba yake ya...