by Dickens Luvanda | Dec 19, 2025 | KISWAHILI NEWS
Msimu huu wa Sikukuu ya Krsimasi, Gavana wa Kaunti ya Machakos, Wavinya Ndeti, amewataka madereva kuwa waangalifu zaidi barabarani. Akizungumza baada ya kuhudhuria hafla ya ubatizo wa watoto katika Kanisa la Our Lady of Lourdes mjini Machakos, Gavana Wavinya alionya...
by Dickens Luvanda | Dec 19, 2025 | KISWAHILI NEWS
Serikali ya kitaifa na magavana wa kaunti wamekubaliana kuharakisha kupanga upya miradi ya kilimo inayofadhiliwa na Benki ya Dunia ili kukabiliana na ukame unaoikumba Kenya huku wakijenga uthabiti wa muda mrefu. Akizungumza baada ya mkutano wa ngazi ya juu uliofanyika...
by Dickens Luvanda | Dec 19, 2025 | KISWAHILI NEWS
Serikali ya Afrika Kusini imewakamata raia saba wa Kenya wanaotuhumiwa kufanya kazi nchini humo kinyume cha sheria na bila kuwa na nyaraka na vibali hitajika na wanatarajiwa kurejeshwa nchini. Wakenya hao ambao waliingia nchini humo kwa viza ya utalii, walikutwa...
by Dickens Luvanda | Sep 8, 2025 | KISWAHILI NEWS
Shule ya Upili ya Wasichana ya St. George’s, iliyoko Kilimani, jijini Nairobi, imefungwa kwa muda usiojulikana baada ya usiku wa vurughu na mvutano mkali kati ya wanafunzi na walimu. Ghasia zilizowahusisha wanafunzi zaidi ya 1,800 zilianza jana Jumapili Septemba 7,...
by Dickens Luvanda | Aug 13, 2025 | KISWAHILI NEWS
Shirikisho la Soka Barani Afrika (“CAF”) kupitia Kamati yake ya Nidhamu limekutana kujadili masuala mbalimbali yanayohusiana na Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (“CHAN”) PAMOJA 2024 yanayoendelea Kenya, Uganda na Tanzania, chini ya udhamini wa...
by Dickens Luvanda | Aug 5, 2025 | KISWAHILI NEWS
Timu ya taifa ya Algeria, maarufu kama ‘The Dessert Foxes’, waliwatoa kijasho wenzao wa Uganda, maarufu kama ‘Uganda Cranes’ na kuwapa kichapo cha mbwa katika mechi ya kundi C. Mbweha hao waliwachachafya Korongo mabao 3-0, kuwania kombe la...