by Dickens Luvanda | Jul 4, 2025 | KISWAHILI NEWS
Mwalimu mmoja kutoka Shule ya Msingi Mikindani, eneo bunge la Jomvu, Kaunti ya Mombasa, amefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyotokea jioni ya Alhamisi, eneo la Maasai, Taita Taveta, kwenye barabara kuu ya Mombasa – Nairobi. Mwalimu huyo alikuwa...
by Dickens Luvanda | Jul 4, 2025 | KISWAHILI NEWS
Huku zikiwa zimesalia siku za kuhesabu kabla Jumatatu ya Sabasaba (Julai 7, 2025) siku ambayo vijana wa Gen Z wametangaza maandamano ya kitaifa dhidi ya serikali ya Rais William Ruto, wasiwasi unaendelea kuwakumba wafanyibiashara sehemu mbalimbali, kwa hofu ya...
by Dickens Luvanda | Jul 3, 2025 | KISWAHILI NEWS
Mwanablogu aliyekuwa ametoweka Ndiangui Kinyagia amejitokeza katika mahakama kuu Jijini Nairobi Alhamisi Julai 3, 2025, baada ya mahakama hiyo kuagiza mkuu wa idara ya upelelezi wa jinai Mohamed Amin, kumwasilisha. Kinyagia alitoweka akiwa katiak nyumba yake ya...
by Dickens Luvanda | Jul 3, 2025 | KISWAHILI NEWS
Hatimaye Bunge la Kitaifa limepitisha kwa kauli moja, Mswada wa Marekebisho ya Katiba wa Mwaka 2025, unaonuia kujumuisha kwenye katiba hazina ya serikali ya kitaifa ya ustawi wa maeneo bunge NG-CDF, hazina ya serikali ya kitaifa inayotengewa makundi maalum, NGAAF na...