Chama cha PAA hakitapaa tena 2027

Chama cha PAA hakitapaa tena 2027

Chama cha Pamoja African Alliance (PAA) kinachoongozwa naye Spika wa Bunge la Seneti Amason Kingi, baada ya kuwa Gavana wa Kilifi chini ya chama cha ODM, kwa miaka kumi – kutoka 2013 – 2022, sasa kimezama. Kingi ametangaza chama hicho kimevunjwa ili...
Ni wikendi ya mvua tena…

Ni wikendi ya mvua tena…

Idadi ya watu waliofariki kufuatia mafuriko yanayoshuhudiwa nchini imefikia 71 baada ya watu watano zaidi kufariki katika kaunti ya Nairobi, ukanda wa Mashariki na Mkoa wa Pwani. Haya yanajiri wakati idara ya Utabiri wa Hali ya Hewa nchini Kenya ikionya kuwa mvua...