by Dickens Luvanda | Mar 19, 2026 | KISWAHILI NEWS
Hospitali ya Rufaa ya Kaunti ya Moi Voi, katika kaunti ya Taita Taveta imetangaza kusitisha kwa muda – huduma za uchunguzi wa CT scan kwa wagonjwa, kwa miezi miwili, kuanzia Machi 17 hadi Mei 7, 2026. Katika taarifa, Msimamizi wa Hospitali hiyo Owen Juma,...
by Dickens Luvanda | Mar 19, 2026 | KISWAHILI NEWS
Kongamano la wajumbe wa chama cha ODM (NDC) linalotarajiwa kufanyika mnamo Machi 27, 2026 limegeuka kuwa jukwaa la vuta n’kuvute na mkwaruzano wa vita vya kisheria na kutishia kuyumbisha chama hicho baada ya kifo cha mwanzilishi wake, Raila Odinga. Mbunge wa...
by Dickens Luvanda | Mar 19, 2026 | KISWAHILI NEWS
Chama cha Pamoja African Alliance (PAA) kinachoongozwa naye Spika wa Bunge la Seneti Amason Kingi, baada ya kuwa Gavana wa Kilifi chini ya chama cha ODM, kwa miaka kumi – kutoka 2013 – 2022, sasa kimezama. Kingi ametangaza chama hicho kimevunjwa ili...
by Dickens Luvanda | Mar 19, 2026 | KISWAHILI NEWS
Idadi ya watu waliofariki kufuatia mafuriko yanayoshuhudiwa nchini imefikia 71 baada ya watu watano zaidi kufariki katika kaunti ya Nairobi, ukanda wa Mashariki na Mkoa wa Pwani. Haya yanajiri wakati idara ya Utabiri wa Hali ya Hewa nchini Kenya ikionya kuwa mvua...
by Dolly Mwirigi | Mar 5, 2026 | KISWAHILI NEWS
Marekani na Israel zinaendelea na mashambulizi dhidi ya Iran, katika operesheni ya kijeshi iliyoanza mwishoni mwa Februari 2026. Mashambulizi hayo yamelenga maeneo ya kijeshi, vituo vya makombora, pamoja na baadhi ya miundombinu inayohusishwa na mpango wa nyuklia wa...
by Dolly Mwirigi | Feb 26, 2026 | KISWAHILI NEWS
Rais wa Botswana, Duma Gideon Boko, amekataa mwaliko wa kutembelea Ikulu ya Marekani (White House) uliotolewa na Rais wa Marekani, Donald Trump, akisisitiza kuwa mazungumzo yoyote yanayohusu rasilimali za nchi yake yanapaswa kufanyika ndani ya Botswana. Akizungumza...