by Dickens Luvanda | Feb 2, 2026 | KISWAHILI NEWS
Usafiri wa matatu jijini Nairobi umeathirika vibaya Jumatatu hii, baada ya baadhi ya madereva na wamiliki wa magari ya usafiri wa umma (matatu) kuanza mgomo, licha ya taarifa ya kusitishwa kwa hatua hiyo iliyotolewa Jumapili. Barabara kuu na maeneo mengine...
by Dickens Luvanda | Jan 28, 2026 | KISWAHILI NEWS
Hali ya ukame katika Kaunti ya Mandera imeendelea kuzorota, huku zaidi ya watu 335,000 wakihitaji msaada wa dharura. Kati yao, takriban watu 120,000 wanategemea maji yanayosafirishwa kwa malori, hali iliyosababisha kaunti hiyo kuingia katika hatua ya tahadhari kali...
by Dickens Luvanda | Jan 28, 2026 | KISWAHILI NEWS
Shirika la Msalaba Mwekundu Nchini (KRC) linaendelea kutoa tahadhari ya ukame unaoendelea kushuhudiwa sehemu mbalimbali nchini, zaidi ya wakenya milioni mbili wakiwa wameathirika, kaunti 32 zikiwa katika hali hatari. Serikali hata hivyo, imetangaza mipango ya...
by Dickens Luvanda | Dec 19, 2025 | KISWAHILI NEWS
Msimu huu wa Sikukuu ya Krsimasi, Gavana wa Kaunti ya Machakos, Wavinya Ndeti, amewataka madereva kuwa waangalifu zaidi barabarani. Akizungumza baada ya kuhudhuria hafla ya ubatizo wa watoto katika Kanisa la Our Lady of Lourdes mjini Machakos, Gavana Wavinya alionya...
by Dickens Luvanda | Dec 19, 2025 | KISWAHILI NEWS
Serikali ya kitaifa na magavana wa kaunti wamekubaliana kuharakisha kupanga upya miradi ya kilimo inayofadhiliwa na Benki ya Dunia ili kukabiliana na ukame unaoikumba Kenya huku wakijenga uthabiti wa muda mrefu. Akizungumza baada ya mkutano wa ngazi ya juu uliofanyika...
by Dickens Luvanda | Dec 19, 2025 | KISWAHILI NEWS
Serikali ya Afrika Kusini imewakamata raia saba wa Kenya wanaotuhumiwa kufanya kazi nchini humo kinyume cha sheria na bila kuwa na nyaraka na vibali hitajika na wanatarajiwa kurejeshwa nchini. Wakenya hao ambao waliingia nchini humo kwa viza ya utalii, walikutwa...