NATIONAL NEWS

BUSINESS NEWS

BEACON NEWS

PITCH SIDE

Kipenga

Shirikisho la Soka Barani Afrika (“CAF”) kupitia Kamati yake ya Nidhamu limekutana kujadili masuala mbalimbali yanayohusiana na Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (“CHAN”) PAMOJA 2024 yanayoendelea Kenya, Uganda na Tanzania, chini ya udhamini wa TotalEnergies. Shirikisho la Kandanda Nchini Kenya (FKF), limepigwa faini ya shilingi milioni 6.5 ambazo ni Dola za Marekani […]