NATIONAL NEWS

BUSINESS NEWS

BEACON NEWS

PITCH SIDE

Kipenga

598143519_1290283063116442_6037731386841653272_n

ILANI YA AJALI KRISIMASI

Dickens Luvanda
December 19, 2025
0
Msimu huu wa Sikukuu ya Krsimasi, Gavana wa Kaunti ya Machakos, Wavinya Ndeti, amewataka madereva kuwa waangalifu zaidi barabarani. Akizungumza baada ya kuhudhuria hafla ya ubatizo wa watoto katika Kanisa la Our Lady of Lourdes mjini Machakos, Gavana Wavinya alionya dhidi ya uendeshaji usiozingatia sheria, mwendo wa kasi kupita kiasi, akisema vitendo hivyo vimechangia kuongezeka […]
G8XupKKXoAIE6h1

JUHUDI ZA KUDHIBITI UKAME

Dickens Luvanda
December 19, 2025
0
Serikali ya kitaifa na magavana wa kaunti wamekubaliana kuharakisha kupanga upya miradi ya kilimo inayofadhiliwa na Benki ya Dunia ili kukabiliana na ukame unaoikumba Kenya huku wakijenga uthabiti wa muda mrefu. Akizungumza baada ya mkutano wa ngazi ya juu uliofanyika Malindi Kaunti ya Kilifi na Kamati ya Kilimo ya Baraza la Magavana pamoja na Jopo […]
SA

WAKENYA WAKAMATWA AFRIKA KUSINI

Dickens Luvanda
December 19, 2025
0
Serikali ya Afrika Kusini imewakamata raia saba wa Kenya wanaotuhumiwa kufanya kazi nchini humo kinyume cha sheria na bila kuwa na nyaraka na vibali hitajika na wanatarajiwa kurejeshwa nchini. Wakenya hao ambao waliingia nchini humo kwa viza ya utalii, walikutwa wakifanya kazi ya kuwasajili wale ambao wanaomba hifadhi ya wakimbizi kupitia mpango wa serikali ya […]