NATIONAL NEWS

BUSINESS NEWS

BEACON NEWS

PITCH SIDE

Kipenga

Two Burundian nationals have been charged in a Mombasa court with illegal possession and trade in wildlife trophies, contrary to Kenya’s wildlife conservation laws. Gakiza Sulemani and Nkunubumwe Celecius were arraigned before Senior Resident Magistrate Hon. David Odhiambo on Monday, 4th 2025, and charged with dealing in 27 pieces of elephant tusks classified by law […]
Timu ya taifa ya Algeria, maarufu kama ‘The Dessert Foxes’, waliwatoa kijasho wenzao wa Uganda, maarufu kama ‘Uganda Cranes’ na kuwapa kichapo cha mbwa katika mechi ya kundi C. Mbweha hao waliwachachafya Korongo mabao 3-0, kuwania kombe la CHAN, iliyosakatwa Jumatatu saa mbili usiku kiwanjani Mandela jijini Kampala, Uganda. Algeria walianza kwa matao ya juu […]
Mabingwa mara mbili wa kombe la Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN), DR Congo, maarufu kama the Leopards (Chui), waliwasili nchini mapema Alhamisi kupitia uwanja wa JKIA tayari kushiriki kipute cha mwaka huu ambacho kitaendelea nchini Kenya, Uganda na Tanzania. Chui wa DR Congo wamekuwa kwenye kambi ya mazoezi jijini Dar es Salaam, Tanzania, tangu […]